Tuesday, July 1, 2008

sylvia ndiye miss Ilala 2008

mdau abdallah mrisho anatupasha kwamba Sylvia Mashuda ndiye Miss Ilala 2008 aliyefungua pazia la kuelekea Miss Tz mwaka huu usiku wa kuamkia leo pale Raiway Gerezani sasa ni City Garden Club. habari kamili bofya hapa

No comments: