

Pichani ni binti aitwaye Lucy Mwiza Fundikira ambaye hivi majuzi amejinyakulia taji la Miss Tanzania 2008 EU (nchi za Schengen).Shindano hilo lililofanyikia katika mji wa Essen nchini Ujerumani,lilipambwa pia na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya,Ali Kiba(kama inavyoonekana katika picha hapo chini) ambaye yupo ziarani katika nchi mbalimbali za Ulaya.
Lucy Fundikira ana umri wa miaka 18 na anaishi na wazazi wake katika mji wa Rotterdam nchini Uholanzi.Kwa picha na habari zaidi kuhusu tukio hilo bonyeza
Lucy Fundikira ana umri wa miaka 18 na anaishi na wazazi wake katika mji wa Rotterdam nchini Uholanzi.Kwa picha na habari zaidi kuhusu tukio hilo bonyeza
No comments:
Post a Comment